Bi Safia Nassor Mbarouq akiwa na mtoto wake Arafat Makame Yussuf pamoja na wajuu zake “Ndoto zangu za kuwa na familia yenye wasomi zil...
Vita vya kupinga ajira za watoto hasa vijijini bado vyahitaji nguvu ya pamoja
Zanzibar ni miongoni mwa nchi iliyojaaliwa neema ya bahari nzuri na yenye kuvutia ambayo wananchi wake pamoja na serikali kwa ujuml...
Dk Shein azindua ofisi ya Wakala wa usajili wa matukio ya kijamii Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraa la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein amewataka Wafanyakazi wa Wakala wa matukio ya Kijamii Zanzi...
Walemavu Wilaya ya kati walia kuungwa mkono, Tamwa, Wahamaza wawapa elimu kutambua haki zao za kisheria
Jamii ya watu wenye ulemavu wilaya ya kati mkoa wa kusini Unguja wameiomba Serikali kuwajengea na kuboresha miundombinu rafiki katika ...
MATOKEO KIDATO CHA SITA 2018 HAYA HAPA
kwa matokeo kamili ya kidato cha sita 2018 bonyeza hapa chini Bonyeza hapa kuangalia matokeo ya kidato cha 6- 2018
NECTA YATANGAZA MATOKEO KIDATO CHA SITA
Baraza la Mtihani Tanzania (NECTA) leo limetangaza matokeo ya kidato cha sita ambapo katika matokeo hayo Necta imezuia matokeo y...
PBZ WAANZISHA AKAUNT KWA MAHUJAJI
BENKI ya Watu wa Zanzibar (PBZ), imeanzisha akaunti maalum na kutoa mikopo ambayo itawawezesha waumini wa dini ya kiislam nchini kwen...
WAUZA VYAKULA VIWANJA VYA SKUKUU WAPEWA ONYO
WAKAAZI wa manispaa wilaya magharibi ‘B’ wametakiwa kuwa waangalifu wanaponunua vyakula hususan vya maji vinavyouzwa katika viwanja vya...
WAANDISHI WA HABABARI Z'BAR WAPEWA NENO, MAADHIMISHO SIKU YA HABARI DUNIANI
Waziri wa Habari Utamaduni na Mambo ya Kale Mahmoud Thabit Kombo amesema Vyombo vya Habari na Waandishi wa Habari wanajukumu la Kufanya...
DK SHEIN AMESEMA ATAONGEZA MISHARA PINDI...........
RAISI wa Zanzibar na Meyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein leo ameongoza mamia ya wafanyakazi katika ukum...
POLISI Z'IBAR YASIFU AMANI ILIOPO MIAKA 54 YA MUUNGANO
JESHI la Polisi Zanzibar limesema katika kipindi cha miaka 54 ya mungano, Zanzibar inajivunia mafanikio mengi ikiwemo amani na utuliv...
MATUMIZI YA WHATSAPP YAMUUMBUA MWALIM, ASIMAMISHWA KAZI
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali, imemsimamisha kazi mwalimu wa skuli ya msingi ya Sebleni, Zuwena Mwinyi Haji, kwa kosa la kuki...
DIWANI ASHIKILIWA POLIS KWA KUUZA VIWANJA VYA SERIKALI
KUFUATIA juhudi zinazofanywa na serikali kuhakikisha migogoro ya ardhi isiyokuwa ya lazima haitokei, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini ...
Mtoto afariki baada ya kutumbukia kwenye shimo la choo
MTOTO mmoja mwenye umri wa miaka mitatu, amefariki baada ya kuingia kwenye shimo la choo. Msaidi Mkuu wa Kituo cha Zimamoto Mj...
Serikali yalivalia njuga tatizo la nguvu za kiume
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo, jamii, jinsia na Watoto, Dk Faustine Ndugulile amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Afya akishirikiana...
DK SHEIN AWAAPISHA VIONGOZI WEPYA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe. Lulu Msham Abdalla kuwa Naibu Waziri wa W...
WIZARA YA FEDHA YATANGAZA NAFASI ZA AJIRA MPYA
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Wizara ya Fedha na Mipango – Pemba kama ifuatavyo:- 1.Ka...
POLISI YAWAVAA MADEREVA WA AMBULACE ZANZIBAR
Jeshi la Polisi limetoa tahadhari kwa madereva wa gari za kuchukulia wagonjwa (Ambulance) kutojihusisha na vitendo vya uvunjifu wa sheria...
















