Shirikisho la mpira wa Miguu Tanzania TFF leo limetangaza kumteua Ammy Ninje kuwa kocha wa muda wa timu ya Taifa ya Vijana chini...
JKU WAWAPIGISHA KWATA POLISI MBELE YA UMATI WA WATU
MAAFANDE wa Polisi wameendelea kugawa pointi baada ya jana kukubali kipigo cha mabao 3-0, kutoka kwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Zanz...
ZFA YAMPIGA STOP MWAMUZI WAKE
Chama cha Soka Visiwani Zanzibar (ZFA) kimemsimamisha kazi Muamuzi Mfaume Ali Nassor kwa muda mpaka pale Shirikisho la Soka Barani...
KILIMANI CITY YAIPA FUNZO TIMU YA KIPANGA
TIMU ya Kipanga ilikubali kuachia pointi tatu kwa Kilimani City baada ya kupokea kipigo cha mabao 2-1, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Zanzib...
TIMU YA JKU YA ZANZIBAR AIBU TUPU
WAWAKILISHI wa Zanzibar kwenye mashindano ya klabu bingwa na kombe la shirikisho Afrika,timu za JKU na Zimamoto, juzi zimetolewa kati...
UFINYU WA BAJETI YA MICHEZO ZANZIBAR YAWALIZA WAWAKILISHI
KAMATI ya Maendeleo ya Wanawake, Habari na Utalii Baraza la Wawakilishi, imeelezea kusikitishwa kwake na ufinyu wa bajeti iliyotengw...
Mbunge wa Malindi amlima barua Infantino wa FIFA
Mbunge wa jimbo la Malindi, mwandishi wa habari na mwanamichezo, Ally Saleh, amemuandikia barua ya wazi Rais wa Shirikisho la Soka Du...
ASLAY, HAMA Q WAPO HATARINI KUSHTAKIWA ZANZIBAR
UONGOZI wa kikundi cha taarab asilia cha Culture umetoa hadi Febuari 15 kwa wasanii Hama Q na Dogo Aslay, wawe wamefika kufanya nao ma...
WACHINA WAMWAGA VIFAA VYA MICHEZO PEMBA
KATIKA kujenga na kudumisha udugu ulipo baina ya Serikali ya Watu wa China na Zanzibar, Madaktari bingwa wanaofanya kazi zao katika Ho...
CAF YAWEKA WAZI WAAMUZI MICHEZO YA TIMU ZA ZANZIBAR
SHIRIKISHO la Soka Afrika CAF limetangaza majina ya waamuzi watakaochezesha mchezo wa kombe la Shirikisho baina ya timu ya Zimamoto y...
LIGI KUU ZANZIBAR KUENDELEO LEO ALHAMIS
BAADA ya kusimama kwa muda wa wiki mbili kupisha mashindano ya Kombe la Mapinduzi, ligi kuu soka Zanzibar kanda ya Unguj...











