Zafela walia na kasi ya ongezeko la malalamiko ya udhalilishaji watoto Zanzibar
Zafela walia na kasi ya ongezeko la malalamiko ya udhalilishaji watoto Zanzibar

Mkurugenzi wa Chama cha Wanasheria Wanawake Zanzibar (ZAFELA), Jamila Mahmoud Juma, akitioa elimu maalum kwa wanafunzi wa shule juu ya mas...

Read more »

Mama asimulia jinsi alivyoachiwa watoto tisa na mumewe, baada ya kumpewa talaka
Mama asimulia jinsi alivyoachiwa watoto tisa na mumewe, baada ya kumpewa talaka

Bi Safia Nassor Mbarouq akiwa na mtoto wake Arafat Makame Yussuf pamoja na wajuu zake “Ndoto zangu za kuwa na familia yenye wasomi zil...

Read more »

Ujenzi wa Nyumba za starehe karibu ya maeneo ya shule unahitaji kupigwa vita kwa nguvu zote
Ujenzi wa Nyumba za starehe karibu ya maeneo ya shule unahitaji kupigwa vita kwa nguvu zote

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Rizki Pemba Juma a kiwa na Naibu Waziri wa Wizara hiyo Simai Mohammed Said, wakisalimiana na Wanafun...

Read more »

Ofisi ya Mtakwim Mkuu wa Serikali Zanzibar kuanza kutoa takwim za matukio ya ajali kwa watoto
Ofisi ya Mtakwim Mkuu wa Serikali Zanzibar kuanza kutoa takwim za matukio ya ajali kwa watoto

Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Ofisi ya Mtakwim Mkuu wa Serikali Zanzibar wanatarajia kuanza utaratibu wa kutangaza takwim za matuki...

Read more »

Wizara ya elimu Zanzibar yajipanga kutoa elimu ya udhalilishaji na ukatili watoto, katika shule za Unguja na Pemba
Wizara ya elimu Zanzibar yajipanga kutoa elimu ya udhalilishaji na ukatili watoto, katika shule za Unguja na Pemba

Katika kuhakikisha vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia hasa kwa wanafunzi vinamaliza, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali imesema imeji...

Read more »

Wasiowapeleka Shule watoto wenye ulemavu kuchukuliwa hatua za kisheria: Wazi Pembe
Wasiowapeleka Shule watoto wenye ulemavu kuchukuliwa hatua za kisheria: Wazi Pembe

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema Serikali haitasita kuwachukulia hatua za kisheria wazee wanasiowapeleka shule watoto wenye...

Read more »

Vita vya kupinga ajira za watoto hasa vijijini bado vyahitaji nguvu ya pamoja
Vita vya kupinga ajira za watoto hasa vijijini bado vyahitaji nguvu ya pamoja

Zanzibar ni miongoni mwa nchi iliyojaaliwa neema ya bahari nzuri na yenye kuvutia ambayo wananchi wake pamoja na serikali kwa ujuml...

Read more »

Wauza maziwa wasiofuata utaratibu wa sheria wakiona cha moto
Wauza maziwa wasiofuata utaratibu wa sheria wakiona cha moto

Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imeanza ukaguzi wa wauza maziwa wasiofuata utaratibu unaokubaliwa ikiwemo sehemu zisizo r...

Read more »

Balozi Idd afanyiwa sherehe maalum siku yake ya kuzaliwa, awasisitiza wafanyakazi kuhudumia jamii kwa utii
Balozi Idd afanyiwa sherehe maalum siku yake ya kuzaliwa, awasisitiza wafanyakazi kuhudumia jamii kwa utii

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Nd. Abdullah Mitawi akimlisha kipande cha Keki Balozi Seif kama ishara ya ku...

Read more »
 
 
 
Top