RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA STUIO YA REDI YA SHIRIKA LA UTANGAZAJI ZANZIBRA (ZBC) ILIOPO RAHALEO MJINI UNGUJA.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohammed Shein akisalimiana na Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Habari la Zanzibar ZBC Bi Nasra Mohammed mara baada ya kuwasili katika Jumba la Studio za ZBC radio Rahaleo mjini Unguja kwa ajili ya kuangalia Mitambo na Vifaa mbalimbali vya kurushia matangazo.Ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohammed Shein wapili kulia akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Habari la ZBC Aiman Duwe mara baada ya kuingia katika Jumba la Studio za ZBC radio Rahaleo mjini Unguja kwa ajili ya kuangalia Mitambo na Vifaa mbalimbali vya kurushia matangazo.Ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohammed Shein kushoto akipata maelezo kutoka kwa Msaidizi Fundi Mkuu Radio Lazaro Joseph wakati alipotembelea moja katika Studio za ZBC radio Rahaleo mjini Unguja kwa ajili ya kuangalia Mitambo na Vifaa mbalimbali vya kurushia matangazo.Ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanziba


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohammed Shein wapili kushoto akisikiliza  maelezo kutoka kwa  Waziri wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo Rashid Ali Juma wakati alipotembelea moja katika Studio za ZBC radio Rahaleo mjini Unguja kwa ajili ya kuangalia Mitambo na Vifaa mbalimbali vya kurushia matangazo.Ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohammed Shein akitembelea sehemu mbalimbali za Jumba la Studio za ZBC radio Rahaleo mjini Unguja kwa ajili ya kuangalia Mitambo na Vifaa mbalimbali vya kurushia matangazo.Ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohammed Shein wapili kushoto akitembelea sehemu mbalimbali za Jumba la Studio za ZBC radio Rahaleo mjini Unguja kwa ajili ya kuangalia Mitambo na Vifaa mbalimbali vya kurushia matangazo.Ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.


PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.


Facebook Blogger Plugin by Piere

Post a Comment

 
Top