Waziri wa Fedha na
Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kushoto) akizungumza na waandishi
wa habari kuhusu Hali ya uchumi na
utekelezaji wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2017/18 ambapo alitoa agizo kwa
vyombo vya ulinzi kuwakamata wanaowalazimisha watanzania kufanya malipo kwa
Dola badala ya Shilingi, mkutano ulifanyika katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na
Mipango Jijini Dar es Salaam.
Facebook Blogger Plugin by Piere
Post a Comment