Mabingwa wa ligi kuu Zanzibar
timu ya JKU wameanza vibaya mashindano ya kombe la Mapinduzi baada ya kukubali
kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa vijana wa timu ya Mlandege.
Mchezo huo ulikuwa ni
waufunguzi rasm wa michuano hiyo ulipigwa katika uwanja wa Amaan mjini Unguja
leo na kushuhudiwa na mamia ya washabiki na wapenzi wa soka visiwani humu.
Wakati JkU ikilala kwa bao
hizo mchezo wa pili unaendelea kati ya timu ya Jamhuri na Mwenge ambapo wakati
wa usiku leo Zimamoto watavurumishana na timu ya Taifa ya Jang’ombe.
Facebook Blogger Plugin by Piere
Post a Comment