SHAMRA SHAMRA ZA MIAKA 54 YA MAPINDUZI ZANZIBAR, HUU NI UZINDUZI WA KITUO CHA AFYA UKONGORONI WILAYA KATI UNGUJA-ZANZIBAR

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala bora Haroun Ali Suleiman akikunjuwa kitambaa kuashiria Ufunguzi wa Kituo cha Afya Ukongoroni Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar`


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala bora Haroun Ali Suleiman wakwanza kushoto akipata maelezo kutoka kwa Afisa uendeshaji Timu ya Afya Halmashauri Wilaya ya Kati Salma Bakari Mohammed wakati akitembelea kituo cha Afya baada ya kukifungua Ukongoroni Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.


Naibu katibu Mkuu Wizara ya Afya Halima Maulid Salum akitoa maelezo kuhusiana na Kituo cha Afya cha Ukongoroni pamoja na kuahidi kutatua baadhi ya changamoto zilizopo baada ya kufunguliwa kituo hicho  Ukongoroni Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.



Mkuu wa Mkoa wa Kusini Hassan Khatib Hassan akizungumza machache kuhusiana na Kituo cha Afya cha Ukongoroni pamoja na kuahidi kutatua baadhi ya changamoto zilizopo katika Mkoa huo katika ufunguzi wa Kituo cha Afya cha Ukongoroni Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.


Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akitoa hotuba ya makaribisho kwa mgeni Rasmi katika ufunguzi wa Kituo cha Afya cha Ukongoroni Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.


Waziri wa  Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala bora Haroun Ali Suleiman akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Kituo kipya cha Afya Ukongoroni Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.kushoto yake ni Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Kusini Hassan Khatib Hassan


PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.



Facebook Blogger Plugin by Piere

Post a Comment

 
Top