Mashindano ya kombe la
Mapinduzi Cup yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi keshi Ijumaa visiwani Zanzibar.
kwa mujibu wa msaidizi katibu wa kamati ya mashindano hayo Khamis
Shaal akizungumza na wanadishi wa habari alisema kuwa siku ya keshi kutapigwa
michezo mitatu.
Alisema kuwa timu ya Mlandege na JKU watacheza wakati wa saa 8:00 mchana, saa 10 jioni Jamhuri
watatia nguvuni na Mwenge ambapo wakati wa saa 2:15 usiku Zimamoto watachuana
na Taifa ya Jang’ombe .
Facebook Blogger Plugin by Piere
Ingiza maoni yako...goo
ReplyDelete