kikosi cha timu ya Mlandege
Mashindano ya kombe la
Mapinduzi Cup yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi leo Ijumaa visiwani Zanzibar.
kwa mujibu wa msaidizi katibu wa kamati ya mashindano hayo Khamis
Shaal akizungumza na wanadishi wa habari alisema kuwa siku ya keshi kutapigwa
michezo mitatu.
Alisema kuwa timu ya Mlandege na JKU watacheza wakati wa saa 8:00 mchana, saa 10 jioni Jamhuri watatia nguvuni na Mwenge ambapo wakati wa saa 2:15 usiku Zimamoto watachuana na Taifa ya Jang’ombe .
Facebook Blogger Plugin by Piere
Post a Comment